LATEST NEWS

Sunday, May 7, 2017

Muonekano wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini tayari kwa kuaga miili ya wanafunzi wa shule ya Msingi Luck vicent





Muonekano wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid , ukiwa tayari kwa shughuli za kuwaaga wapendwa wetu ndugu zetu wanafunzi na waalimu wa shule ya msingi Luck Vicent
Makamu wa Rais Mama Samia, Waziri wa Elimu,Prof Ndalichako , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho_Gambo na Wabunge mbali mbali viongozi wengine pamoja na maelfu ya Watanzania wanatarajiwa kujitokeza katika maombolezo hayo.

No comments:

Post a Comment

Adbox