LATEST NEWS

Friday, March 24, 2017

ACT WAZALENDO KUENZI AZIMIO LA ARUSHA MARCH 25

Chama cha ACT WAZALENDO hapo kesho kinatarajia kufanya kongamano kubwa la kuenzi Azimio la Arusha  litakaloshirikisha vyama mbali mbali vya kisiasa pamoja pia na watu mashuhuri kutoka ndani na nje ya nchi
Hayo yamebainishwa na mkt wa cha,Act Wazalendo Taifa Bii Anna Mgwira wakati akizungumza na kipindi hiki katika mahojiano maalum………………..
Audio Play   Sikiliza hapa



No comments:

Post a Comment

Adbox