
Federer ambaye amepoteza michezo minne tu kwa mwka 2017, alikuwa katika kiwango cha juu na kushinda ndani ya dakika 72.
Ulikuwa ushindi wake wa nne kwa mwaka huu dhidi ya Nadal na wa sita mfululizo.
Federer ameshinda mataji 94 katika maisha yake ya uchezaji tenisi huku 19 ikiwa ni grand slam.
Inamfanya kufikia rekodi ya Ivan Lendl wakipitwa na Jimmy Connors wa Marekani mwenye vikombe 109.
No comments:
Post a Comment