Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Robert Bundala, nje ya jengo la utawala bungeni mjini Dodoma leo Aprili 18, 2018. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamotona na watatu kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wasiyoona Tanzania(TLB), Jonas Lubago. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Wednesday, April 18, 2018
Waziri Mkuu Majaliwa akutana na Mwenyekiti Chama cha Wasioona Tanzania (TLB)
Tags
# HABARI
About Unknown
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Newer Article
Neymar atarajia kurudi katika Kombe la Dunia baada ya kupoa mguu aliovunjika
Older Article
MY TANZANIA,OUR NATION PARK,OUR ANIMALS
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment