LATEST NEWS

Thursday, March 23, 2017

BINTI WA MIAKA 18 ABAKWA KWA KUDANGANYIWA AJIRA



Vijana wawili wanao kadiriwa kuwa na umri wa miaka 28 wamembaka binti mdogo mwenye 
umri wa miaka 18 katika kitongoji cha Majengo kijiji cha Magugu Wilayani babati

Akidhibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Mkoa wa Manyara Fransic Masawe amesema binti alitokea Dar es Salaam maeneo ya Mburaati alirubuniwa kuwa wanataka kumtafutia kazi hivyo walipo mchukua kumpeleka huko nyumbani kwao ndipo waka mbaka

No comments:

Post a Comment

Adbox