na leo Amekagua majengo
ya vyumba vya madarasa vilivyo jengwa pamoja na kuweka matawati katika
vyumba vyote vya madarasa katika shule ya mshingi Engosingiu ilipo
katika ya Sinoni jijini Arusha

Mmoja wa walimu wa shule ya msingi Engosingiu na muuliza mkuu wa mkoa Mrisho Gambo juu ya kucheleweshewa fedha zao za likizo na kutokupandishwa madraja kwa kipindi kirefu.
Mkuu wa mkoa wa Arusha
Mrisho Gambo akiwa na mkuu wa shule hiyo ya msingi Bw Peter Mariale na
wa kwanza kulia ni mkurugenzi wa jiji la Arusha.Wakati huo huo, Gambo
amewataka wataalamu wa vitambulisho vya taifa kuwafuata walimu
mashuleni na kuwapiga picha kwa ajili ya vitambulisho vyao na sio walimu
kwenda halmashauri na kuacha vipindi vya masomo kwa wanafunzi.

Mmoja wa walimu wa shule ya msingi Engosingiu na muuliza mkuu wa mkoa Mrisho Gambo juu ya kucheleweshewa fedha zao za likizo na kutokupandishwa madraja kwa kipindi kirefu.
No comments:
Post a Comment