
Agizo hilo limetolewa leo na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Mashaka Gambo katika ziara yake anayoendelea nayo jijini hapa ambapo ameeleza kuwa yapo mashirika pamoja na taasisi mbalimbali kuhakikisha wanalipa bili zao za umeme kutokana na kuwapo kwa mashirika mbalimbali na kuwataka kulipa bili hizo kabla hatua kali za kisheria hazijachukuliwa.

Aidha pamoja na mkuu wa mkoa wa Arusha kuweza kutoa agizo hilo pia amemwagiza kamanda wa polisi mkoani hapa kuhakikisha anafanya msako kuweza kuwabaini wale wote wanaotumia umeme kinyemela na kuwafikisha katika vyombo vya kisheria.

Kabla ya kutoa agizo hilo msimamizi wa udhibiti wa mapato wa shirika hilo la umeme Bi. Fatuma Boute aliweza kutoa taarifa fupi ya mradi huo ambao umegharimu kiasi cha sh.zaidi billion 128



No comments:
Post a Comment