Ujerumani na Chile zimetinga nusu fainali ya mashindano ya FIFA kombe la mabara baada ya kumaliza mechi zao za kundi B.
Ujerumani wametwaa ushindi wa kundi B baada ya kuichapa Cameroon 3-1 huku Chile wakishika nafasi ya pili baada ya kutoka sare ya 1-1 na Australia,
Jumatano ijayo, Ureno itaivaa Chile kwenye nusu fainali ya kwanza huko Russia na Ujerumani kukutana na Mexico siku ya Alhamis kwenye nusu fainali ya pili.
Tuesday, June 27, 2017
FIFA Kombe la mabara: Ujerumani na Chile zafuzu nusu fainali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment