Ujerumani wametwaa ushindi wa kundi B baada ya kuichapa Cameroon 3-1 huku Chile wakishika nafasi ya pili baada ya kutoka sare ya 1-1 na Australia,
Jumatano ijayo, Ureno itaivaa Chile kwenye nusu fainali ya kwanza huko Russia na Ujerumani kukutana na Mexico siku ya Alhamis kwenye nusu fainali ya pili.

No comments:
Post a Comment