Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani hapa limeanza operesheni ya kukata umeme kwa wadaiwa sugu.
Akizungumza baada ya
operesheni hiyo, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Saidy Mremi amesema
wamelazimika kukata umeme ili walipwe madeni yao ambayo ni zaidi ya Sh8
bilioni. “Taasisi za Serikali tunazidai asilimia 28 ya deni hilo ambapo
tumeamua kuanza nao,”amesema.
Utekelezaji huo umekuja ikiwa imepita takriban miaka miwili tangu Rais John Magufuli atoe agizo la kulitaka shirika hilo kuwakatia umeme wadaiwa sugu.
Utekelezaji huo umekuja ikiwa imepita takriban miaka miwili tangu Rais John Magufuli atoe agizo la kulitaka shirika hilo kuwakatia umeme wadaiwa sugu.


No comments:
Post a Comment