Tiote alijiunga na timu ya daraja la pili ya Beijing Enterprises nchini China kutoka Newcastle mwezi februari. Alikuwepo katika kikosi cha Ivory Coast kilichotwaa ubingwa wa kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015.
Tiote alijiunga na timu ya daraja la pili ya Beijing Enterprises nchini China kutoka Newcastle mwezi februari. Alikuwepo katika kikosi cha Ivory Coast kilichotwaa ubingwa wa kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015.

No comments:
Post a Comment