Rais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi amejiuzulu
wadhifa wake wa ujumbe wa kamati ya maendeleo ya Shirikisho la soka la
kimataifa (FIFA).
Kupitia kwa wakili wake, Malinzi amewaandikia barua FIFA kuwataarifu
kujitoa kwenye kamati hiyo kutokana na kuwa mikononi mwa sheria kwa
sasa.
Malinzi pamoja na katibu wa TFF, Selestine Mwesigwa na mhasibu
Nsiande Isawafo Mwanga wapo rumande hadi Julai 17, upelelezi wa kesi yao
utakapokamilika baada ya kunyimwa dhamana Julai 3 katika kesi
inayowakab
No comments:
Post a Comment